Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 10:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika siku hizo tatu, mnamo siku ya ishirini ya mwezi wa tisa, watu wote walioishi katika Yuda na Benyamini walifika Yerusalemu na kukusanyika katika uwanja wa nyumba ya Mungu. Watu wote walikuwa wakitetemeka kwa sababu ya jambo waliloitiwa na kwa ajili ya mvua nyingi iliyokuwa ikinyesha.

Kusoma sura kamili Ezra 10

Mtazamo Ezra 10:9 katika mazingira