Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 10:41-44 Biblia Habari Njema (BHN)

41. Azareli, Shelemia, Shemaria,

42. Shalumu, Amaria na Yosefu.

43. Ukoo wa Nebo: Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.

44. Wanaume hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni. Basi wakawaacha wanawake hao pamoja na watoto wao.

Kusoma sura kamili Ezra 10