Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 10:30-44 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Ukoo wa Pahath-moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Besaleli, Binui na Manase.

31. Ukoo wa Harimu: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,

32. Benyamini, Maluki na Shemaria.

33. Ukoo wa Hashumu: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.

34. Ukoo wa Bani: Maadai, Amramu, Ueli,

35. Benaya, Bedeya, Keluhi,

36. Wania, Meremothi, Eliashibu,

37. Matania, Matenai na Yaasu.

38. Ukoo wa Binui: Shimei,

39. Shelemia, Nathani, Adaya,

40. Maknadebai, Shashai, Sharai,

41. Azareli, Shelemia, Shemaria,

42. Shalumu, Amaria na Yosefu.

43. Ukoo wa Nebo: Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.

44. Wanaume hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni. Basi wakawaacha wanawake hao pamoja na watoto wao.

Kusoma sura kamili Ezra 10