Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 10:22-34 Biblia Habari Njema (BHN)

22. Ukoo wa Pashuri: Eliehoenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.

23. Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (aliyejulikana pia kama Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.

24. Kati ya waimbaji: Eliashibu. Walinzi wa hekalu: Shalumu, Telemu na Uri.

25. Watu wengineo wa Israeli: Ukoo wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.

26. Ukoo wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Elia.

27. Ukoo wa Zatu: Eliehoenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.

28. Ukoo wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.

29. Ukoo wa Bani: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.

30. Ukoo wa Pahath-moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Besaleli, Binui na Manase.

31. Ukoo wa Harimu: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,

32. Benyamini, Maluki na Shemaria.

33. Ukoo wa Hashumu: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.

34. Ukoo wa Bani: Maadai, Amramu, Ueli,

Kusoma sura kamili Ezra 10