20. Ukoo wa Imeri: Hanani na Zebadia.
21. Ukoo wa Harimu: Maaseya, Elia, Shemaya, Yehieli na Uzia.
22. Ukoo wa Pashuri: Eliehoenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.
23. Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (aliyejulikana pia kama Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
24. Kati ya waimbaji: Eliashibu. Walinzi wa hekalu: Shalumu, Telemu na Uri.
25. Watu wengineo wa Israeli: Ukoo wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.
26. Ukoo wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Elia.
27. Ukoo wa Zatu: Eliehoenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.
28. Ukoo wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.
29. Ukoo wa Bani: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.
30. Ukoo wa Pahath-moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Besaleli, Binui na Manase.
31. Ukoo wa Harimu: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,