Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 1:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi, mfalme wa Persia, ili neno la Mwenyezi-Mungu alilolinena kwa njia ya nabii Yeremia litimie, Mwenyezi-Mungu alimfanya Koreshi, mfalme wa Persia, atangaze amri ifuatayo katika ufalme wake na kuiweka katika maandishi:

Kusoma sura kamili Ezra 1

Mtazamo Ezra 1:1 katika mazingira