Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 9:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye akaniambia, “Uovu wa watu wa Israeli na watu wa Yuda ni mkubwa sana. Nchi imejaa umwagaji damu na mjini hakuna haki, kwani wanasema: ‘Mwenyezi-Mungu ameiacha nchi; Mwenyezi-Mungu haoni.’

Kusoma sura kamili Ezekieli 9

Mtazamo Ezekieli 9:9 katika mazingira