Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 9:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu sita wakaja kutoka upande wa lango la juu linaloelekea kaskazini, kila mmoja na silaha yake ya kuangamiza mkononi mwake. Pamoja nao, alikuwapo mtu mmoja ambaye alikuwa amevaa mavazi ya kitani, naye ana kidau cha wino. Wakaingia ndani ya hekalu, wakasimama pembeni mwa madhabahu ya shaba.

Kusoma sura kamili Ezekieli 9

Mtazamo Ezekieli 9:2 katika mazingira