Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 8:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mungu akaniambia, “Wewe mtu, je, waona mambo wanayofanya, machukizo makubwa wanayofanya Waisraeli ili wapate kunifukuza kutoka maskani yangu? Tena utaona machukizo mengine makubwa zaidi.”

Kusoma sura kamili Ezekieli 8

Mtazamo Ezekieli 8:6 katika mazingira