Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 8:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, akanyosha kitu kama mkono, akanishika kwa nywele zangu. Roho ya Mungu ikaninyanyua kati ya ardhi na mbingu, ikanipeleka mpaka Yerusalemu nikiwa katika maono hayo ya Mungu. Nikafika kwenye kiingilio cha lango la ukumbi wa ndani linaloelekea upande wa kaskazini, mahali palipowekwa sanamu iliyomchukiza Mungu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 8

Mtazamo Ezekieli 8:3 katika mazingira