Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 8:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Mungu akaniambia, “Wewe mtu, umeona wanayotenda wazee wa Waisraeli gizani, kila mtu katika chumba chake cha sanamu. Wanadai ati Mwenyezi-Mungu hatuoni. Mwenyezi-Mungu ameiacha nchi.”

Kusoma sura kamili Ezekieli 8

Mtazamo Ezekieli 8:12 katika mazingira