Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 7:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Watatupa fedha yao barabaranina dhahabu yao itakuwa kama kitu najisi.Fedha na dhahabu zao hazitaweza kuwaokoakatika siku hiyo ya ghadhabu ya Mwenyezi-Mungu;wala hawataweza kushibaau kuyajaza matumbo yao fedha na dhahabu waliyojirundikia;kwani mali hiyo ndiyo chanzo cha dhambi yao.

Kusoma sura kamili Ezekieli 7

Mtazamo Ezekieli 7:19 katika mazingira