Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 6:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo watakaponikumbuka mimi miongoni mwa hao watu wa mataifa ambamo watatawanyika. Watakumbuka jinsi nilivyowapiga kwa sababu mioyo yao isiyo na uaminifu ilinigeuka na kwa vile waliacha kunitazamia mimi wakazitazamia sanamu za miungu. Kwa hiyo watajichukia wao wenyewe kwa sababu ya maovu na machukizo yao yote waliyoyatenda.

Kusoma sura kamili Ezekieli 6

Mtazamo Ezekieli 6:9 katika mazingira