Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 6:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kokote mnakoishi, miji yenu itakuwa ukiwa na sehemu za mwinuko za ibada zenu zitabomolewa, madhabahu zenu ziwe uharibifu na maangamizi, sanamu zenu za miungu zivunjwe na kuharibiwa. Mahali penu pa kufukizia ubani patabomolewa na chochote mlichofanya kitatokomezwa.

Kusoma sura kamili Ezekieli 6

Mtazamo Ezekieli 6:6 katika mazingira