Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 5:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Kwa kuwa nyinyi ni wakaidi kuliko mataifa yanayowazunguka, kwa kuwa hamkuishi kulingana na kanuni zangu, wala hamkuyashika maagizo yangu, ila mmetenda kulingana na maagizo ya mataifa yanayowazunguka,

Kusoma sura kamili Ezekieli 5

Mtazamo Ezekieli 5:7 katika mazingira