Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 48:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya eneo la kabila la Yuda, utatenga eneo lenye urefu wa kilomita 12 na upana kama huohuo, kutoka kaskazini hadi kusini, na urefu huohuo kutoka mashariki hadi magharibi, sawasawa na eneo la kabila lolote. Hapo katikati ya eneo hilo patakuwa na maskani ya Mungu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 48

Mtazamo Ezekieli 48:8 katika mazingira