Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 48:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Eneo linalosalia katika pande zote za eneo takatifu na eneo la mji, yaani lile eneo lenye eneo mraba likiwa na kilomita kumi na mbili u nusus kwa kila upande tokea mashariki hadi magharibi, mkabala na maeneo ya makabila, litakuwa la mtawala. Lile eneo takatifu ambamo maskani ya Mungu itakuwa katikati yake,

Kusoma sura kamili Ezekieli 48

Mtazamo Ezekieli 48:21 katika mazingira