5. Akapima mita 500 nyingine, na mto ukawa na kilindi kirefu hata sikuweza kuuvuka tena. Haikuwezekana kuuvuka ila kwa kuogelea.
6. Yule mtu akaniambia, “Wewe mtu! Zingatia mambo hayo yote kwa makini.”Kisha, akanirudisha mpaka ukingo wa mto.
7. Nilipofika huko niliona miti mingi sana kwenye kingo za mto.