Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 47:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Bwana Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Hii ndiyo mipaka ya nchi mtakayoyagawia makabila kumi na mawili ya Israeli. Lakini kabila la Yosefu lipewe maradufu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 47

Mtazamo Ezekieli 47:13 katika mazingira