Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 45:7 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mtawala, naye atapewa eneo lake upande wa mashariki na magharibi wa eneo lililowekwa wakfu kwa Mwenyezi-Mungu. Eneo hilo litaenea magharibi mpaka bahari ya Mediteranea na upande wa mashariki hadi mpaka wa mashariki wa nchi. Litakuwa na urefu sawa na eneo lililopewa kila kabila la Israeli.

Kusoma sura kamili Ezekieli 45

Mtazamo Ezekieli 45:7 katika mazingira