Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 45:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila siku, katika muda huo wa siku saba, atamtolea sadaka Mwenyezi-Mungu fahali saba na kondoo madume saba wasio na dosari kwa kuwateketeza wazima. Tena ni lazima atoe sadaka kila siku ikiwa ni sadaka ya kuondoa dhambi.

Kusoma sura kamili Ezekieli 45

Mtazamo Ezekieli 45:23 katika mazingira