Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 44:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akaniambia, “Wewe mtu! Tia maanani mambo yote unayoona na kusikia. Nitakueleza kanuni na masharti ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Zingatia moyoni mwako kwa makini, ni watu gani wanaoruhusiwa kuingia na kutoka katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu na ni watu gani wamekatazwa kuingia humo.

Kusoma sura kamili Ezekieli 44

Mtazamo Ezekieli 44:5 katika mazingira