Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 44:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Watakapotoka kwenda kwenye ua wa nje kwa watu, watavua mavazi waliyovaa wakati walipokuwa wanahudumu na kuyaweka katika vyumba vitakatifu. Ni lazima wavae mavazi mengine, ili watu wasije wakawa najisi kwa kugusa mavazi yao.

Kusoma sura kamili Ezekieli 44

Mtazamo Ezekieli 44:19 katika mazingira