Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 43:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafalme wao walijenga vizingiti na miimo ya ikulu zao karibu na vizingiti vya nguzo za hekalu langu, hivyo kati yangu na wao ulikuwa ni ukuta tu. Walilitia unajisi jina langu takatifu kwa machukizo yao waliyotenda, ndiyo maana nimewaangamiza kwa hasira yangu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 43

Mtazamo Ezekieli 43:8 katika mazingira