Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 43:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Maono hayo yalikuwa kama maono niliyoyaona Mungu alipokuja kuuangamiza mji wa Yerusalemu. Pia yalifanana na maono niliyoyaona karibu na mto Kebari. Nikaanguka kifudifudi.

Kusoma sura kamili Ezekieli 43

Mtazamo Ezekieli 43:3 katika mazingira