Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 43:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya siku hizo saba, tokea siku ya nane na kuendelea, makuhani watatoa sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za amani. Nami nitawakubali. Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Kusoma sura kamili Ezekieli 43

Mtazamo Ezekieli 43:27 katika mazingira