Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 43:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Bwana Mwenyezi-Mungu akaniambia: “Wewe mtu! Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Wakati madhabahu imejengwa, utaiweka wakfu kwa kutoa tambiko za kuteketezwa juu yake na kuinyunyizia damu ya wanyama waliotolewa sadaka.

Kusoma sura kamili Ezekieli 43

Mtazamo Ezekieli 43:18 katika mazingira