Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 43:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakiona aibu kutokana na matendo yao, waeleze ramani ya nyumba ya Mungu: Ramani yake yenyewe, milango ya kuingilia na kutokea, umbo lake lote, mipango ya kila kitu, kanuni zake na masharti yake. Waandikie hayo yote waziwazi ili waweze kuona yote yalivyopangwa na waweze kuzifuata kanuni na masharti yake.

Kusoma sura kamili Ezekieli 43

Mtazamo Ezekieli 43:11 katika mazingira