Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 41:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, nikaona kuwa hekalu lilikuwa na sakafu iliyonyanyuliwa kulizunguka, nayo ilikuwa ndio msingi wa zile ghorofa tatu mkabala na hekalu, kimo cha msingi wa ghorofa hizo ulikuwa sawa na ule ufito wa kupimia, mita tatu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 41

Mtazamo Ezekieli 41:8 katika mazingira