Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 40:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, huko, niliona hekalu nalo lilikuwa limezungukwa na ukuta upande wa nje. Yule mtu akauchukua ufito wake wa kupimia ambao ulikuwa na urefu wa mita 3, akaupima ule ukuta. Ukuta huo ulikuwa na kimo cha mita 3 na unene wa mita 3.

Kusoma sura kamili Ezekieli 40

Mtazamo Ezekieli 40:5 katika mazingira