Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 40:48 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, alinipeleka kwenye ukumbi wa kuingilia nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Akalipima lango, nalo lilikuwa na kimo cha mita 2.5 na upana wa mita 7. Na kuta zake zilikuwa na unene mita 1.5 kila upande.

Kusoma sura kamili Ezekieli 40

Mtazamo Ezekieli 40:48 katika mazingira