Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 40:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwenye ua wa nje, kulikuwa na chumba cha ziada kilichounganishwa na njia ya kuingilia ya ndani, upande wa kaskazini. Chumba hicho kilikuwa mkabala na ukumbi wa kuingia, na huko walisafishia wanyama waliochinjwa kwa ajili ya tambiko za kuteketezwa nzima.

Kusoma sura kamili Ezekieli 40

Mtazamo Ezekieli 40:38 katika mazingira