Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 40:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Chumba cha kuingilia na madirisha na matao yake, pia ile mitende iliyochorwa ukutani, vyote vilifanana na vile vya lango la mashariki. Hapo palikuwa na ngazi saba za kupandia kwenye lango, na matao yake yalikuwa mbele yake.

Kusoma sura kamili Ezekieli 40

Mtazamo Ezekieli 40:22 katika mazingira