Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 39:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Mataifa yatajua kuwa Waisraeli walikwenda uhamishoni kutokana na makosa yao wenyewe waliyonikosea. Waliniasi, nami nikageuka wasinione, nikawaweka mikononi mwa maadui zao wakauawa.

Kusoma sura kamili Ezekieli 39

Mtazamo Ezekieli 39:23 katika mazingira