Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 39:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Hawatahitaji kuokota kuni mashambani, wala kukata miti msituni, kwani watazitumia hizo silaha kuwashia nazo moto. Watapora mali za wale waliopora mali zao na kuwapokonya wale waliopokonya mali zao. Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Ezekieli 39

Mtazamo Ezekieli 39:10 katika mazingira