Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 38:8 Biblia Habari Njema (BHN)

“Baada ya siku nyingi utaitwa kuishambulia nchi ambayo watu wengi waliletwa kutoka mataifa mengi na sasa wanaishi bila vitisho vya vita. Utaishambulia milima ya Israeli ambayo hapo awali ilikuwa jangwa na mahame kwa muda mrefu, lakini sasa watu wote huko wanaishi kwa usalama.

Kusoma sura kamili Ezekieli 38

Mtazamo Ezekieli 38:8 katika mazingira