Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 37:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Hawatajitia unajisi tena kwa sanamu za miungu yao na kwa mambo yao ya kuchukiza wala kwa makosa yao. Nitawaokoa wasiwe tena waasi. Nao watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao.

Kusoma sura kamili Ezekieli 37

Mtazamo Ezekieli 37:23 katika mazingira