Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 37:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, toa unabii, uwaambie, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Enyi watu wangu, nitayafunua makaburi yenu na kuwafufua kutoka makaburini mwenu. Nitawarudisha nyumbani kwenu katika nchi ya Israeli.

Kusoma sura kamili Ezekieli 37

Mtazamo Ezekieli 37:12 katika mazingira