Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 35:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, kama niishivyo, nasema mimi Bwana Mwenyezi-Mungu, naapa kwamba kifo kinakungoja na hutaweza kukikwepa. Kwa kuwa unayo hatia ya mauaji, basi mauaji nayo yatakuandama.

Kusoma sura kamili Ezekieli 35

Mtazamo Ezekieli 35:6 katika mazingira