Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 34:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama niishivyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu, naapa kwamba: Nimechoka kuwaona kondoo wangu wamekuwa mawindo ya wanyama wakali kwa vile hapakuwa na mchungaji; wachungaji wangu hawakuwatafuta kondoo wangu, bali wamejilisha wao wenyewe badala ya kuwalisha kondoo wangu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 34

Mtazamo Ezekieli 34:8 katika mazingira