Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 34:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Walio dhaifu hamkuwapatia nguvu, wagonjwa hamkuwaponya, waliojeruhiwa hamkuwafungia dawa, waliotangatanga hamkuwarudisha na waliopotea hamkuwatafuta. Lakini mmetumia mabavu na ukatili kuwatawala.

Kusoma sura kamili Ezekieli 34

Mtazamo Ezekieli 34:4 katika mazingira