Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 34:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Miti mashambani itazaa matunda, ardhi itatoa mazao kwa wingi, nao wataishi salama katika nchi yao. Nitakapovunja nira zao za utumwa na kuwaokoa mikononi mwa hao waliowafanya kuwa watumwa ndipo watakapotambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu

Kusoma sura kamili Ezekieli 34

Mtazamo Ezekieli 34:27 katika mazingira