Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 34:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitawatoa kutoka kwa watu wa mataifa. Nitawakusanya kutoka nchi za mbali na kuwaleta katika nchi yao wenyewe. Nitawachunga juu ya milima ya Israeli, kando ya vijito na katika sehemu zote za nchi zinazokaliwa na watu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 34

Mtazamo Ezekieli 34:13 katika mazingira