Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 34:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Nitapambana nanyi, enyi wachungaji. Nitawaondolea madaraka ya kuchunga kondoo wangu, wala sitakubali muwachunge tena. Hamtakuwa tena na nafasi ya kujinufaisha wenyewe. Nitawaokoa kondoo wangu makuchani mwenu, ili wasiwe chakula chenu tena.

Kusoma sura kamili Ezekieli 34

Mtazamo Ezekieli 34:10 katika mazingira