Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 33:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, hukujia makundi kwa makundi na kuketi mbele yako kama watu wangu, wasikie unachosema, lakini hawafanyi unachowaambia wafanye. Wanasema kwamba wana upendo, lakini hayo ni maneno matupu; wanachotafuta kwa moyo ni faida yao tu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 33

Mtazamo Ezekieli 33:31 katika mazingira