Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 33:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Waambie kuwa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Kama niishivyo mimi naapa kwamba hao wanaokaa katika miji hiyo iliyo magofu, wataangamia kwa upanga; aliye uwanjani nitamtoa aliwe na wanyama wakali; na wale walio ndani ya ngome na mapangoni watakufa kwa maradhi mabaya.

Kusoma sura kamili Ezekieli 33

Mtazamo Ezekieli 33:27 katika mazingira