Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 31:15 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kwa hiyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Siku ileile mwerezi ulipofika kuzimu nilitandaza giza nene juu yake nikaufunika; mito yake niliikausha na mtiririko wa maji yake mengi nikaukomesha. Nayo Lebanoni niliiweka gizani kwa ajili yake, na miti yote msituni ikazirai kwa ajili yake.

Kusoma sura kamili Ezekieli 31

Mtazamo Ezekieli 31:15 katika mazingira