Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 30:6 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi:Wote wanaoiunga mkono Misri wataangamia,mashujaa wake wenye fahari wataangamizwa,tangu Migdoli mpaka Syene watu watauawa vitani.Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Ezekieli 30

Mtazamo Ezekieli 30:6 katika mazingira