Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 3:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena, kama mtu mwadilifu anauacha uadilifu wake na kutenda uovu, nami nikamwekea kikwazo, mtu huyo atakufa. Kwa vile hukumwonya, atakufa kwa sababu ya dhambi yake, nayo matendo yake ya uadilifu hayatakumbukwa. Lakini damu yake nitakudai wewe.

Kusoma sura kamili Ezekieli 3

Mtazamo Ezekieli 3:20 katika mazingira