Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 29:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo, nitawafanya Waisraeli wawe na nguvu na kukuwezesha wewe Ezekieli uongee miongoni mwao. Nao watapata kujua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu.”

Kusoma sura kamili Ezekieli 29

Mtazamo Ezekieli 29:21 katika mazingira